Tuesday 11 February 2014

MBIO ZA URAISI 2015 KUVURUGA BUNGE LA KATIBA

BAADHI ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu? Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo; jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho wanachotaka,” alisema Baregu.

SOURCE;  http://www.raiamwema.co.tz TOLEO 336


BAADHI ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu? Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo; jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho wanachotaka,” alisema Baregu
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.EmT1b13D.dpuf
BAADHI ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu? Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo; jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho wanachotaka,” alisema Baregu.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.Vew4Qhnr.dpuf
BAADHI ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu? Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo; jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho wanachotaka,” alisema Baregu
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.EmT1b13D.dpuf
BAADHI ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu? Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo; jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho wanachotaka,” alisema Baregu.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.Vew4Qhnr.dpuf
BAADHI ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu? Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo; jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho wanachotaka,” alisema Baregu.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.Vew4Qhnr.dpuf

No comments:

Post a Comment