BAADHI ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa
mwaka 2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu
ndani ya Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao
wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume
ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama
alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa
makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge
hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na
mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu
wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu?
Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu
ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake
washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila
lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba
suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa
au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa
wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu
ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya
kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka
sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua
kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha
kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba
haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo;
jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa
Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya
kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya
wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio
wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini
tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho
wanachotaka,” alisema Baregu.
SOURCE;
http://www.raiamwema.co.tz TOLEO 336
BAADHI
ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka
2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya
Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao
wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume
ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama
alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa
makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge
hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na
mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu
wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu?
Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu
ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake
washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila
lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba
suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa
au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa
wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu
ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya
kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka
sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua
kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha
kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba
haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo;
jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa
Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya
kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya
wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio
wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini
tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho
wanachotaka,” alisema Baregu
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.EmT1b13D.dpuf
BAADHI
ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka
2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya
Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao
wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume
ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama
alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa
makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge
hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na
mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu
wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu?
Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu
ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake
washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila
lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba
suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa
au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa
wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu
ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya
kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka
sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua
kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha
kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba
haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo;
jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa
Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya
kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya
wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio
wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini
tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho
wanachotaka,” alisema Baregu.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.Vew4Qhnr.dpuf
BAADHI
ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka
2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya
Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao
wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume
ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama
alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa
makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge
hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na
mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu
wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu?
Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu
ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake
washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila
lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba
suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa
au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa
wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu
ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya
kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka
sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua
kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha
kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba
haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo;
jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa
Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya
kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya
wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio
wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini
tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho
wanachotaka,” alisema Baregu
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.EmT1b13D.dpuf
BAADHI
ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka
2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya
Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao
wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume
ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama
alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa
makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge
hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na
mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu
wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu?
Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu
ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake
washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila
lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba
suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa
au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa
wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu
ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya
kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka
sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua
kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha
kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba
haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo;
jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa
Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya
kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya
wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio
wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini
tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho
wanachotaka,” alisema Baregu.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.Vew4Qhnr.dpuf
BAADHI
ya wagombea wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka
2015 wanadaiwa kuanza kujenga makundi ya kupinga serikali tatu ndani ya
Bunge la Katiba, imefahamika.
Kwa mujibu wa habari ambazo gazeti hili limezipata, wanasiasa hao
wanaamini kwamba chini ya mfumo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume
ya Mabadiliko ya Katiba, Rais wa Tanzania hatakuwa na nguvu kama
alizonazo sasa Rais Jakaya Kikwete.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wagombea hao wameandaa
makundi ambayo kazi yake kubwa itakuwa ni kushawishi wajumbe wa Bunge
hilo wasikubali muundo wa serikali tatu.
“Tunachotaka sisi ni serikali mbili kama ilivyo sasa, zikiwa na
mabadiliko kidogo kwa ajili ya Zanzibar. Watu wanataka urais kwa sababu
wanataka wawe na mamlaka ambayo anayo Kikwete sasa.
“Kuna faida gani kuwa Rais wa Tanganyika wakati si Amiri Jeshi Mkuu?
Kuna faida gani ya kuwa Rais wa Tanzania wakati rasilimali zote muhimu
ziko kwa nchi washirika?
“Huyu rais wa Tanzania atageuka kuwa ombaomba na siku marais wenzake
washirika wakiamua kumuwekea ‘kauzibe’ basi atabaki amekaa Ikulu bila
lolote la maana.
“Utaona kwenye Bunge la Katiba. Sisi tutapambana kuhakikisha kwamba
suala la serikali tatu linashindwa. Ni ama serikali mbili zilizoboreshwa
au hakuna serikali tatu,” alisema mmoja wa wapambe wa mmoja wa
wanasiasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kutaka kuwania urais.
Gazeti hili limeambiwa kwamba kampeni hizi dhidi ya serikali tatu
ndani ya Bunge hilo zitapamba moto na kuwa hadharani mara baada ya
kutangazwa kwa majina ya wajumbe wa Bunge hilo wakati wowote kutoka
sasa.
Raia Mwema limeambiwa kwamba wenye nia hiyo wanajua
kwamba watahitaji kura zisizozidi 310 ndani ya Bunge hilo, kuhakikisha
kwamba suala hilo halipitishwi.
Rais Kikwete tayari ametangaza kwamba endapo Rasimu ya Katiba
haitapitishwa katika Bunge hilo, Tanzania itaendelea kutumia iliyopo;
jambo ambalo litapokewa kwa furaha na wagombea hao.
Akizungumzia hali hiyo, mmoja wa wajumbe wa Tume ya Katiba, Profesa
Mwesiga Baregu, aliliambia gazeti hili wiki hii kwamba wao hawakufanya
kazi kwa kuangalia wanaotaka urais wanahitaji nini, bali maslahi ya
wananchi.
“Kilichopendekezwa na Tume kimetokana na maoni ya Watanzania walio
wengi. Kama kuna watu wanafikiri vingine, sisi hatujui kwanini lakini
tulitakiwa kukusanya maoni ya wananchi na kilichopo kwenye ripoti ndicho
wanachotaka,” alisema Baregu.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/urais-kuvuruga-bunge-la-katiba#sthash.Vew4Qhnr.dpuf